Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, December 22, 2010

MFAHAMU KWA UFUPI RAPA WA WEST COST ANAETIKISA HADI LEO SNOOP DOGGY


Cordozar Calvin Broadus, Jr
HAPA NI HISTORIA YAKE KWA UFUPI HASA ALIPOTOKEA

Snoop Doggy

Cordozar Calvin Broadus, Jr (amezaliwa, 20 Oktoba 1971) ni Rapa wa kimarekani na pia muigazaji wa filamu. Alipata umaarufu kama Snoop Dogg, mwanzoni walikuwa wakimuita Snoop Dogg Doggy.
SNOOP DOGGY

Akiwa anawakilisha kikosi cha West Coast Hip Hop, pamoja na mshirika wake wa karibu bwana Dr. Dre ambaye ndiye aliyesababisha Snoop kuwa hapo alipofikia. Snoop kuna misemo yake ambayo imezoleka sana midomoni mwa watu vile akisema 'fo' Shizzle, manizzle, akimanisha, kweli ndugu yangu, useme huo ulibuniwa na mwanamuziki mmoja wa huko huko nchini marekani maarufu kama Frank Smith & the Band, mnamo miaka ya 80 hivi

  Maisha ya Mwanzo

Snoop alizaliwa mjini Long Beach, California tar. 20 Oktoba 1971. Akiwa bwana mdogo alipata jina la Snoop ambalo alipewa na mama yake mzazi kama jina la utani kwakuwa alikuwa anapenda kutazama kipindi cha televisheni kilichokuwa kinaitwa "Peanuts", kipindi ambacho kiliegemea kwenye masuala ya "Ucheshi", likiwemo na jina fulani la Snoop Dogg.
Snoop ajiunga na shule ya Long Beach Polytechnic High School, na baadae akapelekwa jela kwa kujishughulisha na maswala ya uuzaji na utumiaji wa madawa ya kulevya. Snoop pia alikuwa mmoja wa wanachama wa kikundi kidogo cha kihuni kilichokuwa kinaongozwa na "Bow Keene Mundine" ndani ya Long Beach.
Jina la Kiraia
Mwanamuziki Snoop akiwa Mjini HawaiiCordozar Calvin Broadus, Jr
Jina la kisanii
Snoop Doggy Dogg
The D O Double G Bigg Snoop Dogg Tha Bigg Boss Dogg
Nchi
Alizaliwa
Aina ya muziki
Rap na Hip Hop
Kazi yake
Mwanamuziki, Muigizaji, Mtayarishaji
Miaka ya kazi
mn. 1992 -
Ameshirikiana na
Ala
Sauti, Gita,Kinanda,Kinakilishi
Kampuni
Death Row, Interscope, Universal, No Limit, Priority, TVT, EMI, Star Trak, Geffen, Doggystyle

No comments: