Translate this blog in your favourable language

My pager view

Sunday, December 5, 2010

CHANGAMOTO ZA MAHUSIANO NA WAPI TUNAPOJIKWAA NA SABABU AMBAZO HUHARIBU MAHUSIANO KWA HARAKA SANA..

Kati ya shughuli nzito ambazo huwakumba watu walio katika mahusiano ya kimapenzi au ndoa ni kuhakikisha kuwa mahusiano yao yanakuwa imara. Ni shughuli yenye changamoto nyingi kwani huhitaji uwiano, maana mwanamume na mwanamke wameumbwa tofauti na kila mmoja ana matakwa na matarajio yake.
Sababu za kuvunjika kwa uhusiano zinaweza kuwapo nyingi na kutofautiana kutoka uhusiano huu na ule, lakini zipo kumi ambazo zinaweza kuchukuliwa kuwa kuu. Ukizifahamu utajua jinsi ya kuboresha uhusiano wako wa sasa au baadaye, au kukuweka sawa kisaikolojia kwa ajili ya uhusiano mpya.

SABABU HIZI ZINASABABISHA MAPENZI KUVUNJIKA MAPEMA


1.WIVU ULIOKITHIRI
Wivu ni mojawapo ya sababu kuu za kuvunjika kwa uhusiano wa kimapenzi au hata ndoa. Wivu wa kupindukia unaweza kusababisha ugomvi ambao nao ni sababu kubwa ya kuachana kwa wapenzi.

Wivu husababishwa zaidi na kutokujiamini kwa mtu. Kwa hiyo, ili kuepuka wivu na
kuunusuru uhusiano wa kimapenzi, lazima mtu kwanza ajithamini na kujiamini kuwa
anastahili kupendwa na mpenzi wake kama alivy0

2.MAWASILIANO HAFIFU

Mawasiliano ni kitu muhimu sana katika mapenzi. Iwapo wapenzi watashindwa kuelezana hisia zao, mawazo yao, mitazamo yao, imani zao, matatizo yao au hata furaha zao, uhusiano utakuwa unaelekea pabaya.

Inapotokea hiyo ikawa sababu ya kuachana kwa wapenzi, basi mtu anapojifunza tena
kupenda atapaswa kujifunza pia jinsi ya kuwasiliana vema na mwenzake, kwani kwa
hakika mawasiliano mabaya ni sababu kubwa ya kuachana kwa wapenzi..


3.KUMNYANYASA MPENZI WAKO BILA SABABU.
Hii ndiyo sababu ambayo pengine iko wazi zaidi. Kuna aina mbalimbali za unyanyasaji
ambao hujitokeza baina ya wapenzi na si lazima kwamba mwanamume ndiye anayemnyanyasa mwanamke kama ilivyozoeleka. Hata wanawake huwanyanyasa wanaume.

Unaweza kudhani ukinyanyaswa tu na mpenzi au mwenza utamwacha, lakini ukweli ni kwamba wengi huvumilia, pengine kutokana na kuiogopa jamii inayowazunguka. Lakini ukweli ni kwamba unyanyasaji huondoa kabisa maana ya mapenzi na kusababisha wapenzi
wengi kukosa sababu ya kuendelea kuwa pamoja.
KUKOSA UAMINIFU HASA UNAOTOKANA NA TAMAA ZA KIJINGA
Kushindwa kutimiza ahadi, kusema uwongo au kufanya usaliti wa kimapenzi ni mambo
ambayo humwondolea mtu uaminifu kwa mwenzake. Kwa hakika, kukosekana kwa uaminifu ni sababu kuu ya kuyumba na hata kuvunjika kwa mahusiano yaliyo mengi.

Iwapo kuaminiana kwa msingi kabisa katika uhusiano kutavunjwa mara kwa mara, hasira za mpenzi kwa mwenzake zitalimbikizwa na hamu ya wapenzi/wenza kuendelea kuishi pamoja itapungua. Wapenzi walio katika uhusiano wenye mizizi na afya njema wanaweza kukubaliana kumaliza tofauti zao na kusonga mbele. Kama wataheshimu ahadi na viapo vyao vipya mambo yataendelea.

Kumdanganya mpenzi mara kwa mara, kumsaliti mara kwa mara na kuvunja ahadi zako mara kwa mara huufanya uhusiano kudhoofika na hatimaye nguzo yake muhimu – yaani kuaminiana – kuanguka. Hapo ndipo uhusiano hufika kikomo.
  Iwapo itatokea kuwa mmoja wa wapenzi/marafiki au wote wawili akawa hajitambui na kufuata matakwa yake, mahitaji yake, matamanio yake, mipango yake ya baadaye, malengo yake, msimamo wake, hulka yake na vipaumbele vyake, haitakuwa rahisi kwa watu hawa wawili kuwa na uhusiano wenye afya.



5.. KUJITAMBUA NA KUTAMBUA MAJUKUMU YAKO.
Kujitambua huwasaidia wapenzi kuwa huru kila mmoja kwa mwenzake, akimweleza anataka nini, jambo ambalo husaidia kuimarisha uhusiano. Lakini inapotokea kuwa mmoja wa wapenzi hajitambui, au wote wawili hawajitambui, ni rahisi sana uhusiano kuvunjika, hasa kama wahusika waliingia katika uhusiano huo wakiwa na umri mdogo.lazima utambue kuwa unahaki gani na wajibu gani kwa mpenzi wako nae akitambua haki na wajibu wake katika mahusiano lazima yatadumu ila ikiwa nin kinyume na hapo hakuna penzi litakalo dumu daima..
                                   USHAURI WANGU KWAKO
NIVYEMA SANA UKAJARIBU KUSOMA NA KUANGALIA WATU WANAISHIJE KATIKA MAHUSIANO WA WAPI WANAANGUKA NA WAPI WAFANIKISHA HALAFU TAMBUA WAJIBU WAKO KWA MWENZI WAKO KABLA YA KUMKABIDHI MOYO NA BILA SHAKA LAZIMA UJUE KUZISOMA NYAKATI NA PIA KUBALI KWENDA NA MABADILIKO.. TAMBUA YAKUA MAPENZI SIO JAMBO LAKITOTO  NI KITU AMBACHO KIPO DEEP SANA NA KINAHITAJI UMAKINI PIA UMAHILRI SANA KUWEZA KUONGOZA VINGINEVYO KILA SIKU UTALIA NA UTAJUTIA NA LADHA YA MAPENZI ITAKUA CHUNGU KWAKO DAIMA...
 STEVEN M..
 MWISHO

7 comments:

Anonymous said...

I wish to show some thanks to this writer just for rescuing
me from such a issue. Because of looking throughout the world wide web and getting
solutions which are not beneficial, I was thinking my life was done.
Living without the solutions to the issues you've solved through this article content is a serious case, as well as ones which may have badly damaged my entire career if I had not noticed your website. Your primary capability and kindness in handling the whole lot was very useful. I'm not sure what I would have done
if I had not come across such a stuff like this.
I can also at this moment relish my future.
Thank you so much for the specialized and result oriented help.
I won't hesitate to recommend the website to anyone who should have direction about this problem.

Also visit my homepage ... telecharger video sexe gratuite ()

Anonymous said...

Hi there, You've performed a great job. I'll certainly digg it and in my opinion suggest to my friends. I am sure they will be benefited from this site.

Anonymous said...

Its such as you read my mind! You seem to understand so much approximately this, such as you wrote
the e-book in it or something. I believe that you just can do with some percent to pressure
the message home a little bit, but other than that, this is
great blog. An excellent read. I'll definitely be back.


My page; free music downloads

Anonymous said...

Its like you learn my mind! You appear to understand so much approximately this,
like you wrote the book in it or something. I think that you can do with
some p.c. to drive the message home a bit, however instead of that, this is wonderful
blog. A fantastic read. I will certainly be back.

Here is my website :: JefferyXSchroeter

Anonymous said...

I'm gone to say to my little brother, that he should also pay a visit this webpage on regular basis to obtain updated from latest news.



my site; EdgardoBSesley

Anonymous said...

I have been browsing online greater than three hours today, yet I by no means found
any interesting article like yours. It is beautiful worth enough for me.
In my opinion, if all website owners and bloggers made excellent content material as
you probably did, the web shall be a lot more useful than ever before.


My web blog - ThresaUYung

Anonymous said...

This web site certainly has all the information and facts I wanted about this subject and didn't know who to ask.



Also visit my website; BreeASiguenza