Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, November 3, 2010

makala maalum kuhusu uchaguzi uliopita inakuja na hii inatokana na mimi kuongea na baadhi ya wanasiasa na kuelezea mustakabali wa nchi

 lazima utakubali kuwa huu ni mwaka wa mabadiliko lazima rais ale na watoto wa mitaani na wanaishi ktk mazingira hatarishi na magumu hapo sasa ndio ikulu haitakuwa na radha nzuri sana kama ilivyozoeleka.

hii ndio itatufanya watanzania ambao bado tuna shuku ya kutaka kujua nchi yetu wapi ilpo na wapi inapokwenda na kwa hili lazima tuwe makini sana kwani wewe kama raia wa nchi hii lazima ujue haki zako za msingi kabisa ila kingine ccm chali zaidi ya majimbo 50 na nguli na mawaziri waangushwa kirahisi je ni akina nani? isubirie......

2 comments:

Anonymous said...

Having read this I thought it was extremely enlightening.

I appreciate you finding the time and energy to put this article
together. I once again find myself spending a significant amount of time both reading and leaving comments.
But so what, it was still worthwhile!

Feel free to visit my web page; Free Music downloads (twitter.com)

Anonymous said...

That is a great tip particularly to those new to the blogosphere.
Brief but very precise info… Appreciate your sharing this one.
A must read article!

Look at my blog post; dating sites (bestdatingsitesnow.com)